LOWASSA AKIWA KATIKA KIKAO CHA SIRI NA VIONGOZI WA CHADEMA

 Waziri Mkuu mstaafu, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa (CCM) akizungumza na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika kikao cha siri jijini Dar es Salaam jana, cha kujadili yeye kujiunga na chama hicho na kupewa ridhaa ya kuwania urais wa Tanzania kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Kushoto kabisa mwenye miwani ni Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akifuatiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Wilbrod Slaa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema,Mwesiga Baregu, Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Peter Msigwa.
Lowassa (kushoto) akishiriki katika kikao hicho cha majadiliano

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.