Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akimkabidhi kadi ya chama hicho, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa ambaye alitangaza kujiunga na chama hicho na kukubaliwa kugombea urais wa Tanzania kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Mkutano huo ulifanyika Dar es Salaam leo
Waziri Mkuu mstaafu, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowasa (CCM) na mkewe Regina wakionesha kadi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), walizokabidhiwa baada ya kujiunga na chama hicho, Dar es Salaam
Waziri Mkuu mstaafu, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowasa (CCM) na mkewe Regina wakionesha kadi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), walizokabidhiwa baada ya kujiunga na chama hicho, Dar es Salaam
Comments