MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONESHO YA 10 YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA VYUO VYA ELIMU YA JUU NCHINI.


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata
utepe kuashiria kufungua
  rasmi Maonesho ya 10 ya Sayansi ya Teknolojia ya Vyuo vya Elimu ya Juu, nchini yanayoendelea
kwenye Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, jijini Dar es
Salaam. 
 Maonesho hayo yamefunguliwa
rasmi leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisikiliza maelezo kutoka kwa mvumbuzi wa mashine ya kuchujia maji safi, Dkt.
Askwar Hilonga, wakati alipotembelea katika Banda la maonesho la Chuo Kikuu cha
Nelson Mandela, katika maonesho ya 10 ya Sayansi ya Teknolojia ya Vyuo vya
Elimu ya Juu, nchini yanayoendelea kwenye Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya
Kimataifa ya Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo yamefunguliwa rasmi
leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisikiliza maelezo kutoka kwa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Arusha, Atilio
Raphael (kushoto kwake) na William Sambera (kulia) kuhusu Kompyuta ya mezani
waliyoibuni maalum kwa ajili ya kufundishia somo la Kompyuta, wakati Makamu
alipotembelea Banda la Chuo hicho katika maonesho ya 10 ya Sayansi ya
Teknolojia ya Vyuo vya Elimu ya Juu, nchini yanayoendelea kwenye Viwanja vya
Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Maonesho
hayo yamefunguliwa rasmi leo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisikiliza maelezo kutoka kwa Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Arusha, William
Sambera (kulia) kuhusu Kompyuta ya mezani iliyobuniwa maalum kwa ajili ya
kufundishia somo la Kompyuta, wakati

Makamu alipotembelea Banda la Chuo hicho katika maonesho ya 10 ya
Sayansi ya Teknolojia ya Vyuo vya Elimu ya Juu, nchini yanayoendelea kwenye
Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, jijini Dar es
Salaam. Maonesho hayo yamefunguliwa rasmi leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akioneshwa
Plastiki zilizotengenezwa
  kwa kutumia
Mahindi kutoka kwa Mkurugenzi wa Chuo cha The United African University Of
Tanzania (UAUT) Chang Kilee, wakati alipotembelea katika Banda la maonesho la
Chuo hicho katika Maonesho ya 10 ya
  Sayansi
ya Teknolojia ya Vyuo vya Elimu ya Juu, nchini yanayoendelea kwenye Viwanja vya
Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Maonesho
hayo yamefunguliwa rasmi leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiangalia moja ya Mashine ya 3D Printer iliyobuniwa nchini Korea na
inayotumika kufundishia wanafunzi wa IT wa Chuo cha ‘The United African
University Of Tanzania’ (UAUT), wakati alipotembelea banda la maonesho la Chuo
hicho katika Maonesho ya 10 ya Sayansi ya Teknolojia ya Vyuo vya Elimu ya Juu,
nchini yanayoendelea kwenye Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya
Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Chuo hicho, Chang
Kilee, akimpa maelezo kuhusu Mashine hiyo. Maonesho hayo yamefunguliwa rasmi
leo. KUSOMA ZAIDI BOFYA READ MORE
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiangalia moja kati ya mashine za kufanya miamala za Max Malipo, huku akipata
maelezo kutoka kwa Afisa Masoko wa Kampuni hiyo, Machungu Msama,
  wakati alipotembelea banda lao la maonesho
katika Maonesho ya 10 ya Sayansi ya Teknolojia ya Vyuo vya Elimu ya Juu, nchini
yanayoendelea kwenye Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba,
jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo yamefunguliwa rasmi leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Tunguu Zanzibar, Hadi Mohamed
  (kushoto) na baadhi ya wanafunzi wake, wakati alipotembelea katika Banda la maonesho la Chuo hicho kwenye Maonesho ya 10 ya Sayansi
ya Teknolojia ya Vyuo vya Elimu ya Juu, nchini yanayoendelea kwenye Viwanja vya
Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, jijini Dar es Salaam.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa
katika picha ya pamoja baadhi ya walimu, viongozi na wanafunzi wa Vyuo Vikuu.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa
katika picha ya pamoja baadhi ya walimu, Kung Fu na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Udom.
 Dkt. Bilal, akisalimiana na mmoja wa Walimu wa Chuo cha Liaoning Shi hua, Liju Shi, wakati alipotembelea katika Banda lao.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akihutubia wakati akifungua rasmi Maonesho ya 10 ya Sayansi ya Teknolojia ya
Vyuo vya Elimu ya Juu, nchini yanayoendelea kwenye Viwanja vya Maonesho ya
Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo
yamefunguliwa rasmi leo.
 Baadhi ya Wahadhiri na wanafunzi wa Vyuo Vikuu wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia.
 Baadhi ya Wahadhiri na wanafunzi wa Vyuo Vikuu wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia.
 Baadhi ya Wahadhiri na wanafunzi wa Vyuo Vikuu wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia.
 Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha UDOM, wakitoa burudani ya mchezo wa Kung Fu, wakati wa ufunguzi huo.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha UDOM, wakitoa burudani ya mchezo wa Kung Fu, wakati wa ufunguzi huo.
SOLO Mazalla

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU