MAOFISA WA JWTZ WATEMBELEA KIWANDA CHA TBL DAR

 Maofisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ),walio kwenye mafunzo wakitembelea Kiwanda cha Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam
 Meneja Uhusiano wa TBL,Edith Mushi akisalimiana na Mkufunzi wa Kozi ya Eme, Kapteni Erasto Kalinga
 Maofisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ),walio kwenye mafunzo wakitembelea Kiwanda cha Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam
 Meneja wa Afya na Usalama mahali pa kazi wa TBL, Renatus Nyanda akitoa maelezo kwa maofisa hao jinsi ya kuzingatia usalama watakapotembelea kiwanda hicho
 Maofisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ),walio kwenye mafunzo wakitembelea Kiwanda cha Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam
 Maofisa hao wakipata maelezo kuhusu upishi wa bia kiwandani hapo
 Mtaalamu wa Ubora wa Bia wa TBL, Lydia Soi akitoa maelezo kuhusu jinsi wanavyozingatia ubora wa bia zinazotengenezwa kiwandani hapo
 Maofisa wakipata maelezo jinsi bia inavyochachuliwa
 Maofisa wakitembelea kitengo cha ufungashaji wa bia

 Mpishi Mwandamizi wa Bia wa Kiwanda cha Bia Tanzania (TBL) Dar es Salaam, Elikana Ngosha akiwapatia maelezo Maofisa wa Jeshi walio kwenye mafunzo waliotembelea kiwanda hicho
 Maofisa wakiangalia mitambo kiwandani
Maofisa wa JWTZ na TBL wakiwa katika picha ya pamoja

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU