Mgombea Mteule wa Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli, akigombewa kusalimiwa wakati wa mapokezi kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam
Mgombea Mteule wa Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli, akihutubia katika mkutano maalumu wa kujitambulisha kwa wananchi kwenye Uwanja wa Zakheim, Mbagala Dar es Salaam.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
Mgombea Mteule wa Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli, akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida, alipowasli kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jana, tayari kujitambulisha kwa wananchi wa mkoa huo. Kulia ni Mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassan. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akikumbatiana na Mgombea Mteule wa Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli
Mgombea Mteule wa Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli, akiwa na shada la maua alilozawadiwa wakati wa mapokezi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam
Wananchi wakishangilia kwa furaha wakati Mgombea Mteule wa Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akihutubia katika mkutano huo.
Mgombea Mteule wa Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akiwapungia wananchi alipomaliza kuwahutubia katika mkutano huo.
Mgombea Mteule wa Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli, akihutubia katika mkutano maalumu wa kujitambulisha kwa wananchi kwenye Uwanja wa Zakheim, Mbagala Dar es Salaam.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
Mgombea Mteule wa Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli, akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida, alipowasli kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jana, tayari kujitambulisha kwa wananchi wa mkoa huo. Kulia ni Mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassan. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akikumbatiana na Mgombea Mteule wa Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli
Wananchi wakishangilia kwa furaha wakati Mgombea Mteule wa Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akihutubia katika mkutano huo.
Comments