Mkurugenzi
Mkuu wa Clouds Media group Joseph Kussaga akisalimiana na Mkurugenzi
Mtendaji wa kampuni ya Tanzania Breweries Limited Roberto Jarrin wakati alipotembelea ofisi za Clouds zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Tanzania Breweries Limited, Roberto
Jarrin (kushoto) katika mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa clouds Media
group Joseph Kussaga (katikati kwa waliokaa) kulia kwake ni Mkurugenzi
wa vipindi wa Clouds Ruge Mutahaba na kushoto ni Mkurugenzi wa Media wa
kampuni ya Aggrey&Clifford wakati alipofanya ziara kwenye ofisi za
Clouds zilizopo Mikocheni ijini Dar es Salaam.
Ujumbe
wa kampuni ya TBL ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Robert Jarrin
ukipkelewa atika ofisi za ITV eneo la Mikocheni jijini Dar es Saaam.
Mkurugenzi
Mtendaji wa kampuni ya The Guardian Limited Richard Mgamba (Kushoto)
akisalimana na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Tanzania Breweries
Limited (TBL) Roberto Jarrin (kulia) wakati alipotembelea ofisi za
kampuni ya The Guardian zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Comments