MKURUGENZI MTENDAJI WA TBL AENDESHA MHADHARA CHUO KIKUU CHA STEFANO MOSHI

 Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Usimamizi wa Biashara na Elimu wa Chuo Kikuu cha Stefano Moshi (SMMUCO),Tawi la Moshi Mjini wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) na SABMiller East Africa, Roberto Jarrin alipokuwa akitoa mhadhara wa masuala ya biashara na masoko chuoni hapo, mwishoni mwa wiki.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) na SABMiller East Africa, Roberto Jarrin (kushoto) akibadilishana mawazo na Afisa Mipango wa Chuo Kikuu cha Stefano Moshi (SMMUCO), Tawi la Moshi mjini, Wilfred Shangali mara baada ya kuhitimisha mhadhara wake wa masuala ya biashara na masoko kwa Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Usimamizi wa Biashara na Elimu uliofanyika chuoni hapo juzi .
 Afisa Mipango wa Chuo Kikuu cha Stefano Moshi (SMMUCO), Tawi la Moshi Mjini Wilfred Shangali akibadilishana mawazo na Meneja Mawasiliano na Mambo ya Nje wa TBL Emma Urio mara baada ya kumalizika kwa Mhadhara wa Biashara na Masoko uliotolewa chuoni hapo na Mkurugenzi Mtendaji wa TBL na SABMiler East Africa Roberto Jarrin kwa Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Usimamizi wa Biashara na Elimu.
  Meneja Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Emma Urio akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani mara baada ya kumalizika kwa Mhadhara wa biashara na masoko uliotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TBL na SABMiler East Africa Roberto Jarrin katika Chuo Kikuu cha Stefano Moshi (SMMUCO), Tawi la Moshi mjini kwa Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Usimamizi wa Biashara na Elimu.

  Meneja Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Emma Urio akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani mara baada ya kumalizika kwa Mhadhara wa biashara na masoko uliotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TBL na SABMiler East Africa Roberto Jarrin katika Chuo Kikuu cha Stefano Moshi (SMMUCO), Tawi la Moshi mjini kwa Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Usimamizi wa Biashara na Elimu.

  Mkuu wa Idara ya Biashara Chuo Kikuu cha Stefano Moshi (SMMUCO) Tawi la Moshi mjini Dk. Gasper Mpehongwa akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani mara baada ya Mhadhara wa biashara na Masoko uliotolewa na Mkurugenzi Mtendai wa TBL na SABMiler East Africa Roberto Jarrin kwa wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Usimamizi wa Biashara na Elimu, pembeni yake ni Meneja Mawasiliano na Mambo ya Nje wa TBL, Emma Urio.
 Waziri wa Mahusiano wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Stefano Moshi (SMMUCO),Tawi la Moshi akizungumzia namna walivyonufaika na Mhadhara wa biashara na masoko uliotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TBL na SABMiler East Africa Roberto Jarrin kwa wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Usimamizi wa Biashara na Elimu chuoni hapo.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) na SABMiller East Africa, Roberto Jarrin (kushoto) akibadilishana mawazo na Afisa Mipango wa Chuo Kikuu cha Stefano Moshi (SMMUCO), Tawi la Moshi mjini, Wilfred Shangali mara baada ya kuhitimisha mhadhara wake wa masuala ya biashara na masoko kwa Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Usimamizi wa Biashara na Elimu uliofanyika chuoni hapo
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Nchini (TBL) na SABMiller East Africa Roberto Jarrin akisikiliza swali kutoka kwa mmoja wa wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Usimamizi wa Biashara na Elimu kutoka Chuo Kikuu cha Stefano Moshi (SMMUCO),Tawi la Moshi Mjini jana, Mkurugenzi huyo alikwenda kutoa Mhadhara wa masuala ya Biashara na Masoko chuoni hapo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Nchini (TBL) na SABMiller East Africa Roberto Jarrin akitoa Mhadhara wa mauala ya Biashara na Masoko kwa Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Usimamizi wa Biashara na Elimu wa Mwaka wa kwanza na watatu hawapo pichani katika Chuo Kikuu cha Stefano Moshi (SMMUCO),Tawi la Moshi Mjini

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*