Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Jenerali Ernest Mangu akieleza mbele ya wanahabari kuhusu tukio la ujambazi lililosababisha askari wanne na raia watatu kuuawa wakati kituo cha polisi cha Stakishari,Ukonga Dar es Salaam leo.
Maofisa wa Jeshi la Polisi wakiongozwa na Mkuu wa Jeshi hilo, Ernest Mangu (wa pili kushoto), wakikagua madhara yaliyosababishwa na majambazi waliovamia Kituo cha Polisi cha Stakishari, Majumba Sita, Dar es Salaam jana. (PICHA NA KHAMISI MUSSA
Maofisa wa Jeshi la Polisi wakiongozwa na Mkuu wa Jeshi hilo, Ernest Mangu (wa pili kushoto), wakikagua madhara yaliyosababishwa na majambazi waliovamia Kituo cha Polisi cha Stakishari, Majumba Sita, Dar es Salaam jana. (PICHA NA KHAMISI MUSSA
Comments