RAIS KIKWETE ALIPOHUTUBIA BUNGE NA KUAGANA NA WABUNGE MJINI DODOMA ALHAMISI JULAI 9, 2015

 Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman na ujumbe wake pamoja na maafisa wa bunge wakiingia Bungeni tayari kwa hotuba ya mwisho ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma Alhamisi Julai 9, 2015
Marais wastaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa na Mawaziri wakuu wastaafu Dkt Salim Ahmed Salim, Jaji Joseph Sinde Warioba, Mhe. Frederick Sumaye na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na maafisa waandamizi jeshini na serikalini wakiwa wamesimama wakati viongozi wakiingia bungeni.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akiingia bungeni.
 Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali akiingia katika ukumbi wa Bunge.
 Spika Anne Makinda akimuongoza Rais Kikwete kuingia bungeni.
 Rais Kikwete akiingia bungeni huku akishangiliwa na wabunge.
 Rais Kikwete akiingia bungeni.
 Rais Kikwete na Spika Makinda wakielekea kuchukua nafasi zao.
 Sehemu ya ukumbi wa bunge wakati Rais Kikwete akiingia.
Waheshimiwa wabunge
 Sehemu ya maafisa waandamizi wa bunge.
 Rais Kikwete akianza kuhutubia wabunge.
 Sehemu ya maafisa waandamizi wa bunge.
 Rais Kikwete akiendelea na hotuba yake.
 Waheshimiwa wabunge wakiwa wametulia kumsikiliza Rais Kikwete.
 Sehemu ya wageni mashuhuri wakifuatilia hotuba.
 Sehemu ya wabunge.
 Wake wa viongozi, watoto wa Rais Kikwete na maafisa mbalimbali.
 Sehemu ya Mabalozi .
 Wabunge wakifuatilia hotuba.
 Wabunge wakifuatilia hotuba

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU