SHEKHAN NA FAMILIA YAKE, SAAAFI NDANI YA SWEDEN

Kati ya wanasoka wa Tanzania ambao wameamua kujitiliza kweli na kuendesha mambo yao ‘kikubwa’, basi Shekhan Rashid hawezi kutoka kwenye Top 3.

Kiungo huyo wa zamani wa Simba na Taifa Stars sasa anaishi nchini Sweden ambako anaendesha maisha yake.

Kiana Shekhan amekuwa akiendelea kucheza soka, lakini muda mwingi anaonekana yeye ni kati ya wanaojali familia zao kweli.


Shekhan anaweza kuwa mfano kwa kuwa muda mwingi anaonekana akijali kuona familia yake, yaani watoto wake wawili pamoja na mkewe wanakuwa ni watu wenye furaha.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.