Shangwe
na burudani za kutosha zinatarajiwa kufanyika katika sikukuu ya Eid
hapo kesho mkoani Tabora panapo majaaliwa ya Mwenyezi Mungu. Mashabiki
mjini Tabora watarajiwa kufurahia onesho hilo katika maeneo mawili
tofauti ambapo mchana itakuwa Bwalo la Polisi kuanzia saa 8 mchana na
Usiku katika viwanja vya Muungano Mesi kuanzia saa 2 usiku.
Wasanii wa kila nyanja wametua mjini hapo na kufanya mahojiano CG Fm Redio leo mchana; wasanii hao ni Kassim Mganga a.k.a tajiri wa mahaba, Ommy Dimpoz, Mkude Simba (Kitale) na rafiki yake Stan Bakora, Young Killer, na Baraka Da Prince.
Kassim Mganga akiwa CG Fm Redio, 89.5 The point of no Return
Ommy Dimpoz
Comments