NHC YAWAPATIA MSAADA WA MASHINE ZA KUFYATUA MATOFALI, SH. 500,000, VIJANA WALIOACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA KIGOGO, DAR

 Vijana waliopata ushauri nasaha wa kuacha kutumia dawa za kulevya, wakishangilia baada ya Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Muungano Saguye (aliyevaa koti) kuwakabidhi msaada wa mashine tatu za kufyatulia matofali pamoja na mtaji wa sh. 500,000 katika hafla iliyofanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, Dar es Salaam jana.  Katikati mstari wa mbele ni Mchungaji wa kanisa hilo, Jackson Haranja ambaye pia ni mlezi wa vijana hao wapatao 40. Kulia mstari wa mbele ni Yahya Charahani ambaye ni Ofisa Mawasiliano wa NHC. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
 Saguye akimkabidhi mashine hizo Mlezi wa vijana hao, Mchungaji Haranja
 Mchungaji Haranja akitoa shukurani kwa shirika hilo baada ya kupokea msaada huo ambapo aliseama utasaidia sana kuinua hali ya maisha ya vijana hao waliokuwa wameathirika na dawa za kulevya
Saguye akizungumza na vijana hao kuhusu lengo la kuwapatia msaada wa mashine hizo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI