UJUMBE WA WAFANYABIASHARA KUTOKA KOREA WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KWENYE MAONESHO YA SABASABA

 Mmoja wa wafanyabishara wa nishati kutoka Korea akiangalia  vinyago kwenye banda la  Kituo cha Jimolojia Tanzania (TGC) kwenye Maonesho  ya Kimataifa ya  Sabasaba (Dar es Salaam International  Trade Fair; DITF) yanayoendelea katika  viwanja  vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam
 Afisa wa Huduma kwa Wateja kutoka Shirika la  Umeme Nchini (TANESCO)  Lucas Kusare ( wa pili kutoka kulia) akiwaonesha  wafanyabiashara wa nishati kutoka Korea mfano wa mtambo wa kuzalisha umeme kwa njia ya maji katika  Banda la  TANESCO kwenye Maonesho  ya Kimataifa ya  Sabasaba (Dar es Salaam International  Trade Fair; DITF) yanayoendelea katika  viwanja  vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam
Mtaalam kutoka Idara ya Madini Mhandisi Rayson Nkya (Katikati) akimwonesha  Makamu wa Rais wa Kampuni  ya  Energy and Minerals  Resources Development  Association ya Korea,  Dk. Song Jae Ki (Kulia) moja ya machapisho  ya Wizara ya Nishati na Madini kwenye Maonesho  ya Kimataifa ya  Sabasaba (Dar es Salaam International  Trade Fair; DITF) yanayoendelea katika  viwanja  vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kushoto ni   Godfrey Fweni kutoka  Idara ya Madini ya Wizara hiyo.
Mtaalam kutoka Idara ya Nishati,  Yusuph  Msembele (Katikati) akimwonesha mmoja wa wafanyabiashara kutoka  Korea (kulia, anayepiga picha machapisho hayo) machapisho ya Idara ya Nishati.
Mmoja wa wafanyabiashara kutoka Korea (Kulia) akiangalia vinyago katika banda la Kituo cha Jimolojia  Tanzania (TGC) Kushoto ni Afisa Utawala kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Matiko Sanawa.
Washirki kutoka Wizara ya Nishati na Madini, wakiwa katika picha ya pamoja kwenye Maonesho  ya Kimataifa ya  Sabasaba (Dar es Salaam International  Trade Fair; DITF) yanayoendelea katika  viwanja  vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI