UJUMBE WA WAFANYABIASHARA KUTOKA KOREA WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KWENYE MAONESHO YA SABASABA
Mmoja
wa wafanyabishara wa nishati kutoka Korea akiangalia vinyago kwenye banda la Kituo cha Jimolojia Tanzania (TGC) kwenye
Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba (Dar
es Salaam International Trade Fair; DITF)
yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam
Afisa
wa Huduma kwa Wateja kutoka Shirika la
Umeme Nchini (TANESCO) Lucas
Kusare ( wa pili kutoka kulia) akiwaonesha
wafanyabiashara wa nishati kutoka Korea mfano wa mtambo wa kuzalisha
umeme kwa njia ya maji katika Banda
la TANESCO kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba (Dar
es Salaam International Trade Fair; DITF)
yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam
Mtaalam
kutoka Idara ya Madini Mhandisi Rayson Nkya (Katikati) akimwonesha Makamu wa Rais wa Kampuni ya
Energy and Minerals Resources
Development Association ya Korea, Dk. Song Jae Ki (Kulia) moja ya
machapisho ya Wizara ya Nishati na
Madini kwenye Maonesho ya Kimataifa
ya Sabasaba (Dar es Salaam International
Trade Fair; DITF) yanayoendelea katika viwanja
vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Godfrey Fweni kutoka Idara ya Madini ya Wizara hiyo.
Mtaalam
kutoka Idara ya Nishati, Yusuph Msembele (Katikati) akimwonesha mmoja wa
wafanyabiashara kutoka Korea (kulia,
anayepiga picha machapisho hayo) machapisho ya Idara ya Nishati.
Mmoja
wa wafanyabiashara kutoka Korea (Kulia) akiangalia vinyago katika banda la
Kituo cha Jimolojia Tanzania (TGC)
Kushoto ni Afisa Utawala kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Matiko Sanawa.
Washirki
kutoka Wizara ya Nishati na Madini, wakiwa katika picha ya pamoja kwenye
Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba (Dar
es Salaam International Trade Fair; DITF)
yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Comments