Mtaalam
wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce
Temu akimwelekeza Mkurugenzi wa kampuni ya Events World, Dimo Debwe
Mitiki, jinsi ya kuwasilisha maoni yake kuhusiana na kazi za Umoja wa
Mataifa na nini angependa Umoja huo ufanye zaidi kwa ajili ya watanzania
kwenye viwanja vya maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa maarufu
kama “Sabasaba”.
Mtaalam
wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce
Temu akimwelekeza mmoja wa wananchi aliyetembelea la Umoja huo jinsi ya
kuwasilisha maoni yake kuhusiana na kazi za Umoja wa Mataifa na nini
angependa Umoja huo ufanye zaidi kwa ajili ya watanzania.
Comments