Kamati Kuu ya CCM imeteua majina matano yatakayokwenda kupigiwa kura katika Halmashauri Kuu ya CCM, ili kupata watatu watakaopigiwa kura kura kwenye mkutano mkuu wa chama hicho, kwa lengo la kumpata mmoja atakayepeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi Mkuu ujao.
Kwa mujibu wa vyanzao vyetu vya habari ni kwamba, Walioteuliwa ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Bernard Membe, John Magufuli, Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia, January Makamba, Amina Salum Ally na Waziri wa Katiba na SDheria, Dk.Asha Rose Migiro
Kwa mujibu wa vyanzao vyetu vya habari ni kwamba, Walioteuliwa ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Bernard Membe, John Magufuli, Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia, January Makamba, Amina Salum Ally na Waziri wa Katiba na SDheria, Dk.Asha Rose Migiro
Comments