Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
akisalimiana na aliyekuwa Mbunge wa Mpanda Kati kwa tiketi ya CHADEMA,
Said Arfi mjini Mpanda Julai 21 2015. Mheshiiwa Pinda yuko Katavi kwa
mapumziko mafupi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Kiboko akiwa amejeruhiwa vibaya
baada ya kushambuliwa na Simba na kukimbilia mtoni katika Hifadhi ya
Taifa ya Katavi Julai 21, 2015
Mamba wakiwa katika hifadhi ya Katavi Julai 21, 2015.
Comments