Mchumi Mkuu wa Wizara ya Fedha Idara ya Bajeti, Adam Msumule akizungumza
na Michuzi Blog mara baada ya kutembelea banda la Wizara ya Fedha
kuhusiana na bajeti iliyopitishwa hivi karibuni Bungeni Dodoma katika
maonyesho ya 39 ya kibiashara yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu
Nyerere jijini Dar es Salaam.Kulia ni Msimamizi Mkuu wa fedha- Wizara
ya Fedha Idara ya Bajeti, Moses Ndeutwa.
Wananchi wakipewa maelekezo katika banda la wizara ya Fedha Idara ya
Bajeti katika maonyesho ya 39 ya kibiashara ya Sabasaba yanayoendelea
kufanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha Idara ya Bajeti katika maonyesho ya
39 ya kibioashara yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere
jijini Dar es Salaam.
Comments