BREKING NEWS WANAAPOLO WAFIA MGODINI BAADA YA KIBERENGE KUKATIKA

Image result for wanaapolo wakiwa mereraniwanaapolo wakiwa mgodini (picha na maktana)


Na Woinde Shizza wa libeneke la kaskazini blog

Wachimbaji wadogo wawili (wanaapolo) wanaofiwa kufa na wengine kadhaa

kujeruliwa  katika mgodi  wa madini ya Tanzanite uliopo Mererani
mkoani Manyara .
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo walieleza kuwa tukio hilo
lilitokea  usiku wa kuamkia leo ambapo wachimbaji hao
waliangukiwa na kiberenge ndani ya mgodi huo uliopo block C unao
milikiwa na  Said Nassor (mwarabu) walipo kuwa wakiendelea na kazi.
Shuhuda huyo aliyejitambulisha kwa jina la Edison Onyango alisema kuwa
kiberenge hicho kilikatika na kuporomoka na kisha kuwaangukia watu hao
na kusababisha vifo na majeruhi.



Akizungumza kwa njia ya simu mmiliki wa mgodi huo Said Nassor
alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa wamepata maiti ya
mtu mmoja na wako katika harakati za kusafirisha mwili huo kwenda kwa
ndugu zao kwa ajili ya maziko.
Hata hivyo alieleza kuwa tukio hilo ni lakawaida na kwamba polisi
walifika kwa ajili ya uchunguzi wakiwemo maofisa wa idara ya madini
ili kuchunguza undani wa tukio hilo.


www.woindeshizza.blogspot.com
“kwakweli ndugu muandishi wa habari tukio hili ni kweli limetokea
katika mgodi wangu na alijasababishwa na uzembe ila ni tukio la
kawaida kutokea na linaweza kutokea katika mgodi wowote “alisema Said
alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa aliyefariki dunia
ni mtu mmoja Joseph Kimati (27).
Aliongeza kuwa waliojeruliwa katika tukio hilo ni wawili ambao
kuwa chanzo cha tukio ni kiberenge kilichokatika  na kupoteza
muhelekeo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*