Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
DK.Faustine Ndugulile akihutubia Mkutano wa kampeni uliofanyika katika
Uwanja wa Mzimu Kata Vijibweni Kigamboni Dar es Sallam (PICHA ZOTE NA
KHAMISI MUSSA).
Wananchi wakifurahia alipokuwa akipanda jukwaani Mgombe ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM DK.Faustine Ndugulile
Wananchi wakimsikiliza kwa makini Mgombea
Mwenyekiti
wa CCM Wilaya ya Temeke na Mjumbe Halmashauri kuu Mkoa, Yahaya
Sikunjema (kulia) akimkabidhi Ilani ya Chama hicho Mgombea nafasi ya
Udiwani kupitia Chama hicho Zacharia Mkundi katika mkutano wa kampeni
ulio fanyika Kata ya Vijibweni Dar es Sallam
Comments