Wananchi wakiwa na vipeperushi vyenye picha ya Dk Magufuli na marais wa awamu ya kwanza hadi ya nne wakati wa mkutano wa kampeni za CCM wilayani Ludewa, mkoani Njombe
Ni furaha iliyoje kwa wakazi wa Ludewa mara baada ya kumona mgombea urais w3a Tana znia kupitia CCM, Dk John Magufuli mjini Ludewa
Bibi akitafakari ahadi nono zilizokuwa zikitolewa na Mgombea Urais kupitia CCM, Dk Magufuli hasa kuhusu pensheni kwa wazee ziztakazoanza kutolewa mwakani. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
Dk Magufuli akijinadi kwa wananchi mjini Ludewa
Dk Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni mjini Ludewa. Ameahidi Serikali ya CCM itajenga barabara ya kiwango cha lami kutoka Njombe hadi Ludewa
Dk Magufuli akimmwagia sifa Mgombea ubunge wa Jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe (kushoto)
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, Luhwavi akihutubia na kumuombea kura Dk Magufuli mjini Ludewa
Dk Magufuli akiwa amempakata mtoto mwenye ulemavu wa ngozi baada ya kumaliza mkutano wa kampeni mjini Ludewa
Wananchi wakishangilia baada ya kumuona Dk. Magufuli katika Kata ya Luhuhu, wilayani Ludewa leo
Mgombea ubunge wa Jimbo la Ludewa akiwa na Dk Magufuli ndani ya Pantoni la Mto Luhuhu ambao ni mpaka wa Wilaya za Ludewa na Nyasa
Dk Magufuli akishuka kwenye Kivuko cha Mto Luhuhu akitokea Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe kwenda Mbinga mkoani Ruvuma kuendelea na kampeni za urais ubunge na udiwani. Dk Magufuli ameahidi kujenga daraja la mto huo.
Dk Magufuli akiwaaga wananchi
Ni furaha iliyoje kwa wakazi wa Ludewa mara baada ya kumona mgombea urais w3a Tana znia kupitia CCM, Dk John Magufuli mjini Ludewa
Bibi akitafakari ahadi nono zilizokuwa zikitolewa na Mgombea Urais kupitia CCM, Dk Magufuli hasa kuhusu pensheni kwa wazee ziztakazoanza kutolewa mwakani. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
Dk Magufuli akijinadi kwa wananchi mjini Ludewa
Dk Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni mjini Ludewa. Ameahidi Serikali ya CCM itajenga barabara ya kiwango cha lami kutoka Njombe hadi Ludewa
Dk Magufuli akimmwagia sifa Mgombea ubunge wa Jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe (kushoto)
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, Luhwavi akihutubia na kumuombea kura Dk Magufuli mjini Ludewa
Dk Magufuli akiwa amempakata mtoto mwenye ulemavu wa ngozi baada ya kumaliza mkutano wa kampeni mjini Ludewa
Wananchi wakishangilia baada ya kumuona Dk. Magufuli katika Kata ya Luhuhu, wilayani Ludewa leo
Mgombea ubunge wa Jimbo la Ludewa akiwa na Dk Magufuli ndani ya Pantoni la Mto Luhuhu ambao ni mpaka wa Wilaya za Ludewa na Nyasa
Dk Magufuli akishuka kwenye Kivuko cha Mto Luhuhu akitokea Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe kwenda Mbinga mkoani Ruvuma kuendelea na kampeni za urais ubunge na udiwani. Dk Magufuli ameahidi kujenga daraja la mto huo.
Dk Magufuli akiwaaga wananchi
Comments