EWURA FAMILY DAY ILIVYOFANA DAR

 Watoto wa familia za wafanyakazi wa wakishindana kukimbiaMamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), wakati wa hafla ya wafanyakazi wa Ewura kufurahi pamoja na familia zao (Ewura Family Day) kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam
 Wafanyakazi wa Ewura wakiwa katika picha ya pamoja na familia zao
 Wakiwa katika mchezo wa Wavu
 Wakishindana kukimbia huku wakiwa kwenye magunia
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Felix Ngamlagosi (kulia) akishiriki na wakurugenzi wenzie kushindana kuvuta kamba na wafanyakazi wa Ewura wakati wa siku ya wafanyakazi wa Ewura kufurahi na familia zao kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam juzi
 Wafanyakazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), wakishindana katika mchezo wa kuvuta kamba wakati wa siku ya kufurahi na familia zao kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Felix Ngamlagosi (wa tatu kushoto) akishiriki kucheza mpira wakati wa hafla ya wafanyakazi wa Ewura kufurahi pamoja na familia zao kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam
 Waliovaa fulana za bluu wakishindana soka na waliovaa njano

 Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Ewura, Titus Kaguo (kulia) akishiriki na wenzie katika shindano la kukimbiza kuku
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Felix Ngamlagosi akifurahia zawadi ya kuku aliyemkamata katika shindano la kufukuza kuku wakati wa siku ya wafanyakazi wa Ewura kufurahi na familia zao kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam juzi.


 Mwanafunzi Charles Daud ambaye ni mmoja wa watoto wa wafanyakazi wa Ewura akishangilia baada ya kushinda shindano la kufukuza kuku
 Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Ngamlagosi akikabidhi kikombe kwa mmoja wa washindi wa michezo iliyofanyika siku hiyo
 Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Ngamlagosi (kulia) akipokea kikombe kwa niaba ya wakurugenzi walioshinda katika mchezo wa kuvuta kamba
 Ngamlagosi akifurahia zawadi hiyo
 Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Ngamlagosi akikabidhi zawadi ya kikombe kwa nahodha wa timu ya ilivaa fulana ya njano  iliyoishinda  ya bluu katika shindano la kuvuta kamba
 Wafanyakazi na familia zao waliovaa fulana ya njano wakishangilia baada ya kukabidhiwa kikombe hicho
 Mfanyakazi wa Ewura Rachel Kiula akifurahia kupata zawadi ya kikombe aliyopata baada ya mfanyakazi pekee aliyeshiriki katika michezo mingi iliyochezwa siku hiyo.
 Baadhi ya washindi wa michezo mbalimbali wakishangilia huku wakiwa na zawadi zao

 Sasa ni wakati wa msosi


 Kijana mchekeshaji Comedian akiwa kazini baada ya watu kupata msosi
 Sasa ni wakati wa watoto kufurahi


 Wafanyakazi wa Ewura na familia zao wakipata ushauri nasaha kuhusu masuala ya kulinda  afya zao
Wafanyakazi wa Ewura na familia zao wakiwa katika picha ya pamoja

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI