Meneja wa kampuni ya Tigo kanda
ya Kusini,(kulia) Lilian Mwalongo akizungumza na waandishi na uongozi wa
hospitali ya Rufaa ya Ligula mkoani Mtwara wakati wa kukabidhi msaada
wa vyandarua 1,000 vyenye thamani ya milioni 15,Akiyekaa(katikati) ni
Kaimu mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Alfred Luanda na (kushoto) Mganga mkuu wa
mkoa , Dk.Shaibu Maarifa.
Kaimu mkuu wa mkoa wa Mtwara
ambaye ni katibu Tawala,Alfred Luanda (katikati) akizungumza wakati wa
hafla ya kukabidhiwa vyandarua 1000 vyenye thamani ya milioni 15 kutoka
kampuni ya Tigo,kushoto ni mganga mkuu wa Mkoa, Dk.Shaibu Maarifa na
kulia ni Dk.Mdoe Huhuza.
Kaimu mkuu wa mkoa wa Mtwara
ambaye ni katibu Tawala,Alfred Luanda akiwa ameshikilia baadhi ya
vyandarua walivyokabidhiwa na kampuni ya Tigo vipatavyo 1,000 vyenye
thamani ya milioni 15 kama sehemu ya uzinduzi.
Mganga mkuu wa mkoa wa
Mtwara, Shaibu Maarifa akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi
vyandarua kutoka kwa kampuni ya Tigo vyenye thamani ya milioni
15,akifuatiwa na Kaimu Mkuu wa mkoa Alfred Luanda, akifuatiwa na Dk.
Mdoe Muhuza.
Comments