MAADHIMISHO YA 23 YA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA KITAIFA YAFIKIA KILELE MJINI DODOMA MWISHONI MWA WIKI

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akitoa hotuba ya kuhitimisha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa kwenye viwanja vya Nane Nane Nzuguni Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki.Picha na John Banda wa Pamoja Blog.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akimkabidhi zawadi Mwanafunzi Margreth Mussa wa shule ya msingi Maria de Matias baada ya kushinda shindano la kuandika insha ya lishe na unyonyeshaji wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa zilizofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nane Nzuguni Mkoani Dodoma
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akimkabidhi zawadi Bi. Lilian Simon mmoja ya wakina mama walionyonyesha watoto wao kwa kufuata maelekezo ya wataalamu na kuwezesha watoto wao kuwa na afya bora na kukua vizuri. 
 Kikundi cha ngoma za asili ya kigogo cha zepisa Hombolo kikitumbuiza wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa zilizofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nanne Nzuguni Mkoani Dodoma.
 Vijana wa bendi ya muziki ya Winners ya Mjini Dodoma wakionesha ufundi wa kusakata muziki wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa zilizofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nanne Nzuguni Mkoani Dodoma.
 Bi. Lilian Simon akiwa amembeba Mwanae Dorcas David (3)  akipongezwa na Vijana wa bendi ya muziki ya Winners alipotoa ushuhuda wa faida ya kumnyonyesha mtoto wake maziwa ya mama pekee hadi alipofikisha umri wa miezi sita na baadae kuendelea hadi miaka miwili wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa zilizofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nanne Nzuguni Mkoani Dodoma
 Bi. Judina Deus Malya akiwa na watoto wake mapacha Noel na Nance Malya (4) mara baada ya kutoa ushuhuda wa faida ya kuwanyonyesha watoto wake maziwa ya mama pekee hadi walipofikisha umri wa miezi sita na baadae kuendelea hadi miaka miwili wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa zilizofanyika mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nanne Nzuguni Mkoani Dodoma
 Baadhi ya Wananchi wa Dodoma waliofika kwenye viwanja vya Nane Nane Nzuguni wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa huo Chiku Gallawa (hayupo pichani) wakati akitoa hotuba ya kuhitimisha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa mwishoni mwa wiki.
 Picha ya pamoja baina ya mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa (katikati), viongozi wa Mkoa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii na wamama walionyonyesha watoto wao kwa kufuata masharti ya wataalamu na watoto wao wenye afya bora baada ya kumalizika kwa Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa mwishoni mwa wiki kwennye viwanja vya Nane Nane Nzuguni Mkoani humo.
Picha ya pamoja baina ya mkuu wa Mkoa wa Dodoma, viongozi wa Mkoa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ambao kwa pamoja wameshirikiana katika maandalizi na  kufanikisha  Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa yaliyohitimishwa mwishoni mwa wiki kwenye viwanja vya Nane Nane Nzuguni Mkoani humo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI