MAMA SAMIA ATINGA SINGIDA LEO, MIKUTANO YAKE YAENDELEA KUFURIKA WANANCHI


 Umati wa wananchi ukimsikiliza Mgombea Mwenza kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu alipohutubia mkutano wa kampeni katika eneo la Msange, Singida Kaskazini, leo.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, akiwahutubia wananchi katika mkutano huo leo
 








Umati wa wananchi ukimsikiliza Mgombea ubunge wa jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, alipohutubia katika mkutano wa kampeni wa mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, katika eneo la Msange, Singida Kaskazini, leo. 
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubunge Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, katika mkutano uliofanyika katika jimbo hilo leo. 

 Baadhi ya viongozi na wananchi wakijimwayamwaya kwa furaha  wakati wa mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimiabaadhi ya viongozi, baada ya kuwasili  katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo hilo leo.
 Wananchi waliojawa na furaha wakimkimbilia kumlaki, Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, alipowasili kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, katika viwanja vya Kyengege, Iramba mkoani Singida leo
 "Baba hakimbii nyumba" Kijana akiwa na bango linalowasema wanaaokimbia  kutoka CCM kwenda upinzani kutokana na kutochaguliwa katika nafasi za uongozi, kijana huyo alipokuwa kwenye mkutano wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, uliofanyika leo Iramba mkoani Singida.
 Mgombea Ubunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba akiselebuka na baadhi ya viongozi na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo, katika eneo la Kyengege, Iramba mkoani Singida, leo.
 Mgombea Ubunge jimbo la Iramba Magharibu, Mwigulu Nchemba akiomba kura, wakati wa mkutano wa kampeni za CCM wa mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, uliofanyika leo katika jimbo hilo.
 Wananchi wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia wakati wa mkutano wa kampeni za CCM wa mgombea Mwenza huyo, uliofanyika leo katika jimbo hilo.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba katika mkutano uliofanyika katika jimbo hilo leo. Kushoto ni Mgombea wa Ubunge jimbo la Mkalamo, Allan Kiula
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Mkalamo, Allan Kiula, katika mkutano uliofanyika katika jimbo hilo leo.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa kampeni, wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan uliofanyika leo, kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Singida. Picha na Bashir Nkoromo).

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI