MKUU WA MKOA WA DODOMA MHE. CHIKU GALLAWA AMEFANYA ZIARA YA UKAGUZI KWENYE SOKO LA WAMACHINGA LA REHEMA NCHIMBI COMPLEX MJINI DODOMA AGOSTI 12, 2015
Mkuu
wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa (wa pili kushoto) akitembelea soko
la wamachinga la Rehema Nchimbi Complex Mjini Dodoma wakati wa ziara
yake ya ukaguzi sokoni hapo mapema leo, Wengine ni viongozi wa soko
hilo.
Mkuu
wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akikagua eneo la vyoo vya soko la
wamachinga la Rehema Nchimbi Complex Mjini Dodoma wakati alipotembelea
soko hilo mapema leo.
Mkuu
wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa (katikati) akibadilishana mawazo juu ya
changamoto za biashara na wamachinga wa soko la Rehema Nchimbi
Complex wakati wa ziara yake ya ukaguzi sokoni hapo mapema leo, wengine
ni viongozi wa Wilaya ya Dodoma na viongozi wa soko hilo.
Mkuu
wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa akiwa kwenye Picha ya pamoja na
wafanyabiashara wa soko la machinga la Rehema Nchimbi Complex baada ya
kumalizika kwa ziara yake ya ukaguzi sokoni hapo mapema leo, wengine ni
viongozi wa Wilaya ya Dodoma.
Comments