Rais Kikwete akutana Alpha Konare Mjumbe wa AU Sudan ya Kusini

SU1
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Mhe.Alpha Oumar Konare ambaye ni msuluhishi wa Umoja wa Afrika(AU) katika mgogoro wa Sudan ya Kusini ikulu jijini Dar es Salaam jana.Mbali na majadiliano yaliyohusu vita vya wenyewe kwa wenyewe katika taifa changa la Sudan ya Kusini Bwana Konare ambaye pia ni Rais Mstaafu wa Mali(1992-2002) na mwenyekiti mstaafu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika alimweleza Rais Kikwete umuhimu wa kutumia Kiswahili katika mikutano ya Umoja wa Afrika.(picha na Freddy Maro)
SU2

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.