Rais wa
Uganda Yoweri Museni akiongea na Waziri mkuu Mizengo Pinda katika
sherehe ya Skauti kwakutimiza miaka miamoja nchini Uganda kulia
Waziri wa Jinsia kazi namaendeleo ya Jamii Hajati Rukia Isanga
Nakadama Waziri mkuu alimuwakilisha Rais Jakaya Kikwete Picha na Chris
Mfinanga.
Waziri
mkuu Mizengo Pinda akiwa anateta jambo na Makamu wa Raisi wa Sudani
Kusini H.E James Wani Igga ambaye aliwakilisha nchi yake katika sherehe
ya Skauti kutimiza miaka miamoja nchini Uganda kulia kwa waziri mkuu ni
Naibu Mkuu wa Itafaki Bw. James Bwana .
Picha na Chris Mfinanga.
Comments