AIRTEL TANZANIA YAZIPIGA JEKI TASWA ZOTE KWA VIFAA VYA MICHEZO

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando akimkabidhi vifaa vya michezo Mwenyekiti wa timu ya Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania, TASWA FC, Majuto Omary kwa ajili ya kutumika katika mechi zao. 
Mmbando akimkabidhi vifaa vya michezo, mmoja wa wachezaji wa timu ya Netiboli ya waandishi wa Habari za Michezo Tanzania, TASWA Queens, Imani Makongor. Anayeshuhudia katikati ni Mwenyekiti wa Taswa SC, Majuto Omary.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI