Mkurugenzi wa Shirika lisilo la
kiserikali la AECF linalo jishughulisha na kutoa mikopo ya kilimo cha
biashara Bw. Hugh Scott akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo
pichani) kuhusu awamu ya nne ya shindano la ufadhili wa kilimo cha biashara
mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni afisa Muendeshaji Mkuu wa shirika
hilo Bw. Sam Ng'ang'a.
Picha zote na Eliphace Marwa – Maelezo.
Comments