Spika wa Bunge, Job Ndugai akimkabidhi Naibu Spika mpya, Dk Tulia Akson Mwansasu katiba baada ya kumwapisha kushika wadhifa huo. Tulia alishinda baada ya kumbwaga Mgombea wa Ukawa, Magdalena Sakaya kwa kupata jumla ya kura 250 asilimia 71.2. Sakaya alipata kura 101 sawa na asilimia 28.8. Samahani picha siyo nzuri zimepigwa kwenye TV.
Dk Tulia Akson Mwansasu
Dk Tulia akitoa shukrani baada ya ushindi
Ndugai akitia saini kwenye kiapo
Dk Tulia akipongezwa na wabunge
Dk Tulia Akson Mwansasu
Dk Tulia akitoa shukrani baada ya ushindi
Ndugai akitia saini kwenye kiapo
Dk Tulia akipongezwa na wabunge
Comments