SIMU.TV: Baadhi ya waandishi wa habari nchini wametoa maoni yao kuhusu hotuba ya Rais Magufuli aliyoitoa katika uzinduzi wa Bunge. https://youtu.be/ERXaYkypZC4
SIMU.TV: Tume ya Taifa Ya Uchaguzi NEC imetoa taarifa ya kufanyika uchaguzi kesho katika majimbo 2 kutokana na Vifo vya wagombea. https://youtu.be/3OzYleOvGtg
SIMU.TV: Ofisi ya Bunge ikishirikiana na CAG watafanya mafunzo ya kujenga uwezo kwa wabunge juu ya matumizi bora ya fedha za Serikali. https://youtu.be/OknTK7Hk0a0
SIMU.TV: Mbunge wa Zamani Wa Temeke Ndg. Abbas Mtemvu afungua rasmi kesi mahakamani kupinga matokeo ya Uchaguzi katika jimbo hilo. https://youtu.be/7PCmeyiXbHc
SIMU.TV: Jumla ya watu 1396 wameugua ugonjwa wa Kipindupindu mkoani Tanga huku watu 13 kufariki dunia tangu kuzuka kwa ugonjwa huo. https://youtu.be/mW-d8AuIYFA
SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Geita amepiga marufuku maandamano Ya CHADEMA yanayotarajiwa kufanyika siku ya maziko ya Alphonce Mawazo. https://youtu.be/TKwhtfiN6lI
SIMU.TV: Bohari ya dawa nchini MSD imetekeleza agizo la Rais Magufuli kwa kupeleka vitanda na vifaa tiba katika kitengo cha mifupa hospitali ya Muhimbili; https://youtu.be/Cl7HQrNjwwc
SIMU.TV: Wananchi wa Lushoto na Ulanga Mashariki wanatarajiwa kupiga kura kesho kuchagua wabunge watakao wawakilisha katika bunge la 11; https://youtu.be/X4h4ey-xBqY
SIMU.TV: Raia mmoja wa Uingereza amekamatwa na kilo 22 za mirungi katika uwanja wa ndege wa Taifa akitaka kuisafirisha kwenda Uingereza; https://youtu.be/qXhhEj2Ayos
SIMU.TV: Polisi Mkoani Mwanza imezui mikusanyiko mikubwa ya watu ili kujikinga na ugonjwa wa kipindupindu;https://youtu.be/RYEdITlKmCU
SIMU.TV: Tanzania imekuwa kinara katika uwekezaji Afrika Mashariki kwa zaidi ya dola za Kimarekani Bil.2 kwa mwaka 2014-2015 https://youtu.be/ap1a9y3V6qQ
SIMU.TV: Rais wa Zanzibar Mohamed Shein amekagua eneo la miradi ya ujenzi wa makazi ya watu na viwanda katika eneo la Fumba visiwani humo; https://youtu.be/RIOUo_TyfhU
SIMU.TV: Watendaji kushindwa kubuni vyanzo vya mapato kumeelezwa kukwamisha maendeleo katika Halmashauri nyingi nchini; https://youtu.be/mRwQCFWTFDw
SIMU.TV: Timu ya JKT Ruvu imepanga kulitumia dirisha dogo la usajili kupata wachezaji wapya ili kuleta changamoto katika timu hiyo; https://youtu.be/Nfpt18BnBw8
SIMU.TV: Timu ya Uingereza imefanikiwa kuongoza katika mashindano ya mbio za magari za Race Of Champions yaliyofanyika jana nchini humo; https://youtu.be/UgfTYeNoupc
SIMU.TV: Mtangazaji mwandamizi wa vituo vya radio na televisheni nchini Tanzania Prince Kamukulu amefariki dunia na kuagwa leo jijini Dar Es Salaa: https://youtu.be/bnLdRVa7C3Y
SIMU.TV: Vigogo wa FIFA wanaotumikia adhabu kwa ajili ya kosa la rushwa wamezidi kukabiliwa na wakati mgumu baada ya kufungiwa kwa siku tisini: https://youtu.be/OmzhKDPT8tw
Regards
Preview YouTube video Waandishi Wa Habari Nchini Watiririka Juu Ya Hotuba Ya Rais Magufuli
Preview YouTube video NEC Yatangaza Marudio Ya Uchaguzi Kesho Kwa Majimbo 2
Preview YouTube video Anne Makinda Akabidhi Rasmi Ofisi Kwa Spika Job Ndugai
Preview YouTube video Abbas Mtemvu Atimba Mahakamani Kupinga Matokeo Ya Ubunge Temeke
Preview YouTube video Kipindupindu Chaimeza Tanga
Preview YouTube video DC Geita Apinga Maandamano CHADEMA Maziko Ya Alphonce Mawazo
Preview YouTube video MSD Yatekeleza Agizo La Rais Magufuli
Preview YouTube video Lushoto, Ulanga Kupiga Kura Kesho
Preview YouTube video Raia Wa Uingereza Akamatwa na Mirungi UwanjaWa Ndege
Preview YouTube video Polisi Wazuia Mikusanyiko Mwanza
Preview YouTube video Tanzania Kinara Uwekezaji Afrika Mashariki
Preview YouTube video Dkt Shein Akagua Miradi Zanzibar
Preview YouTube video Kukosekena Kwa Ubunifu Kwakwaza Upatikanaji Mapato
Preview YouTube video JKT Ruvu Yapania Kuimarisha Kikosi
Preview YouTube video Uingereza Yaongoza Mbio Za Magari.
Preview YouTube video Kifo Cha Mtangazi Maarufu Wa Burudani
Preview YouTube video Vigogo Wa FIFA Wakabiliwa Na Wakati Mgumu
Comments