SIMU.TV: Maafisa ardhi 10 wa wilaya ya Kinondoni wamekamatwa na kuwekwa rumande baada ya kuchelewa kufika eneo lenye mgogoro wa Ardhi. https://youtu.be/03ceWrnJtSk
SIMU.TV: Mahakama kuu kanda ya Mwanza inatarajia kutoa hukumu ya kesi ya kupinga zuio la Jeshi la polisi kuaga mwili wa Marehemu Alphonce Mawazo. https://youtu.be/L8YlgPLzdso
SIMU.TV: Mwenyekiti wa ulinzi na usalama Babati Manyara aliagiza jeshi la polisi kuwakamata Viongozi kwa tuhuma za kufanya njama ya uzulumaji.https://youtu.be/aucSylfeIF4
SIMU.TV: Kamati ya afya visiwani Zanzibar imefanya ziara ya kushitukiza katika masoko ya chakula na kukuta hali ya usafi isiyoridhisha inayoweza kupelekea milipuko ya magonjwa. https://youtu.be/OKiNE6GSXqA
SIMU.TV: Chama cha soka Mkoani Geita kimeingia mkataba na aliyekuwa Kocha wa klabu ya Simba Suleiman Matola ili kukinoa kikosi hicho;https://youtu.be/SPWOhuh1Q-8
SIMU.TV: TFF ikishirikiana na FIFA imeandaa tamasha la mpira wa miguu ambalo limelenga kuhamasisha wanawake kushiriki katika mchezo huo;https://youtu.be/SvnB0bA5Dw4
SIMU.TV: Chama cha soka Mkoani Geita kimeingia mkataba na aliyekuwa Kocha wa klabu ya Simba Suleiman Matola ili kukinoa kikosi hicho;https://youtu.be/ SPWOhuh1Q-8
SIMU.TV: Barcelona wamechomoza kwa ushindi wa magoli sita kwa moja dhidi ya timu ya AS Roma katika uwanja wa nyumbani kwao:https://youtu.be/MGS_ZmPAva4
Regards
Preview YouTube video Maafisa Ardhi 10 Wasekwa Rumande Mgogoro Wa Ardhi Dar
Preview YouTube video Mahakama Kuu Mwanza Kutoa Hukumu Leo Zuio La Kumuaga Marehemu Alphone
Preview YouTube video Mpaka wa Gosebe wafungwa rasmi na mkuu wa wilaya ya tarime
Preview YouTube video Zanzibar Na Vita Dhidi Ya Kipindupindu
Preview YouTube video GEREFA Yaingia Mkataba Na Suleiman Matola
Preview YouTube video Soka La Wanawake
Preview YouTube video Barcelona Yachomoza Kwa Ushindi Mkubwa
Comments