Mwenyekiti
wa Chadema Freeman Mbowe akitoa taarifa kwa wananchi baada ya Chadema
Kufungua Kesi Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza kupinga kuzuiliwa kwa mwili
wa Marehemu Mawazo kuagwa Jijini Mwanza.
Mmoja
wa Mawakili wa Chadema John Mallya akitoa taarifa kesi baada ya Chadema
Kufungua Kesi Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza kupinga kuzuiliwa kwa mwili
wa Marehemu Mawazo kuagwa Jijini Mwanza.
Kesi
ilisikilizwa katika Jengo la Mahakama ya Biashara lililopo katikati ya
Jiji la Mwanza. Pichani ni mawakili wa Chadema wakielekea mahakamani
huku kukiwa na umati wa wafuasi wa Chadema (Ukawa) pamoja na viongozi
waandamizi wa Chadema
Kesi
ilisikilizwa katika Jengo la Mahakama ya Biashara lililopo katikati ya
Jiji la Mwanza. Pichani ni mawakili wa Chadema wakielekea mahakamani
huku kukiwa na umati wa wafuasi wa Chadema (Ukawa) pamoja na viongozi
waandamizi wa Chadema
Comments