Mbunge wa Jimbo la Kongwa, Job Ndugai ameshinda kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano kwa kuwabwaga wagombea wengine 7 kutoka vyama mbalimbali vya upinzani katika uchaguzi uliofanyika leo bungeni Dodoma ..
.Ndugai amepata jumla ya kura 254, wakati Goodluck Ole Medeye wa Chadema aliyewakilisha Ukawa amepata jumla ya kura 109.
.Ndugai amepata jumla ya kura 254, wakati Goodluck Ole Medeye wa Chadema aliyewakilisha Ukawa amepata jumla ya kura 109.
Comments