SIMU.TV: Kikao cha pili cha bunge la 11 kikiendelea ikiwa ni muendelezo wa zoezi la kuapishwa kwa wabunge jijini Dodoma;https://youtu.be/vd1145sZAmM
SIMU.TV: Mbunge mteule wa jimbo la Vunjo James Mbatia akila kiapo cha kuthibitihsa utumishi wake katika bunge la Tanzania; https://youtu.be/DW-Zjfa-PDg
SIMU.TV: Viapo wanavyoapa wabunge pindi wanapoingia bungeni, je vinaleta hofu na wajibu wa kutekeleza majukumu yao katika majimbo yao? https://youtu.be/Pk9UTeIPI-U
SIMU.TV: Unakumbuka michango gani aliyotoa Mh.Martha Mlata katika bunge lililopita na una matarajio gani kutokana na kurudi kwake bungeni?https://youtu.be/ Dz78Ns03kP8
SIMU.TV: Mbunge Mh.Nape Nauye pamoja na mbunge wa Tarime aliyerudi tena bungeni Mh.Ester Matiko wakila kiapo cha uaminifu bungeni https://youtu.be/h5Ib3118L2U
SIMU.TV: Mbunge kupitia tiketi ya CCM, Mh.Mwiguru Nchemba amekula kiapo kuitumikia kwa nguvu zake zote serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania: https://youtu.be/bYCaRBYxrDw
SIMU.TV: Wabunge wa serikali ya awamu ya tano ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania waapa kuitumikia vema nchi ya Tanzaniahttps://youtu.be/mbG488yCE1w
SIMU.TV: Baada ya baadhi ya wabunge kula kiapo, Spika Job Ndugai ahairisha bunge hivyo kumalizia zoezi hilo ifikapo jioni; https://youtu.be/U51Y2CkBKvo
Preview YouTube video Wabunge Wakila Kiapo
Preview YouTube video Tija Ya Wabunge Kula Viapo
Preview YouTube video Mh Martha Mlata Akila Kiapo Baada Ya kurudi Tena Bungeni
Preview YouTube video Mbunge Wa Tarime Ester Matiko Akila Kiapo
Preview YouTube video Mwigulu Nchemba Akila Kiapo
Preview YouTube video Wabunge Waapa Kuitumikia Serikali Ya Tanzania
Preview YouTube video Bunge Lahairishwa Hadi Jioni
Comments