Shamra shamra zilianzia hapa: Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akionesha kwa wabunge barua rasmi
ya uteuzi wa jina la Waziri Mkuu Mteule Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa
kutoka kwa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Bungeni mjini Dodoma leo
asubuhi.
Waziri Mkuu Mteule, Majaliwa Kassim Majaliwa akiwashukuru
wabunge baada ya kuthibitishwa kwa kura nyingi Bungeni mjini Dodoma
Novemba 19, 2015
Waziri Mkuu Mteule, Majaliwa Kassim Majaliwa akiwashukuru
wabunge baada ya kuthibitishwa kwa kura nyingi Bungeni mjini Dodoma
Novemba 19, 2015
Waziri Mkuu Mteule, Majaliwa Kassim Majaliwa akiwashukuru
wabunge baada ya kuthibitishwa kwa kura nyingi Bungeni mjini Dodoma
Novemba 19, 2015
Waziri Mkuu Mteule, Majaliwa Kassim Majaliwa akiwashukuru
wabunge baada ya kuthibitishwa kwa kura nyingi Bungeni mjini Dodoma
Novemba 19, 2015
“…Tummogeleee, Tummogele,,,, mwana
wetu…Tummogelleeee…” Wabunge wanawake wakiimba kwa chereko na Naibu
Spika Dkt. Tulia Mwansasu (wapili kulia) baada ya kuapishwa bungeni
mjini Dodoma Novemba 19, 2015.
Waziri Mkuu Mteule, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa
akipongezwa na Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai baada ya kuthibitishwa
na Bunge Novemba 19, 2015
Waziri Mkuu, Mteule Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa akipongezwa
na Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashilillah baada ya kutibitishwa na
Bunge mjini Dodoma Novemba 19, 2015.
Waziri Mkuu Mteule Kassim Majaliwa akizungumza na Waandishi
wa Habari kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Novemba 19 2015 (PICHA
NA MICHUZIBLOG)
Comments