Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akila kiapo cha kushika wadhifa huo bungeni Dodoma
Ligora akila kiapo cha ubunge bungeni
Ligora akipatiwa kiapo na Bibilia na Spika Ndugai tayari kwenda kuapa
Mbunge wa Jimbo la Msalala, Ezekiel Maige (CCM) akiloa kiapo bungeni Dodoma
Spika mpya wa Bunge, Job Ndugai akimpongeza Mbunge wa Jimbo la Msalala, Ezekiel Maige (CCM) baada ya kumuapisha bungeni Dodoma
Ndugulile wa Jimbo la Kigamboni, akila kiapo
Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Esther Bulaya (Chadema), akila kiapo kushika wadhifa huo bungeni Dodoma
Bulaya akipongezwa na Spika Ndugai
Mbunge wa Jimbo la Kyera, Harrison Mwakyembe akila kiapo
Ndugai akimpongeza Mwakyembe
Ligora akila kiapo cha ubunge bungeni
Ligora akipatiwa kiapo na Bibilia na Spika Ndugai tayari kwenda kuapa
Mbunge wa Jimbo la Msalala, Ezekiel Maige (CCM) akiloa kiapo bungeni Dodoma
Spika mpya wa Bunge, Job Ndugai akimpongeza Mbunge wa Jimbo la Msalala, Ezekiel Maige (CCM) baada ya kumuapisha bungeni Dodoma
Ndugulile wa Jimbo la Kigamboni, akila kiapo
Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Esther Bulaya (Chadema), akila kiapo kushika wadhifa huo bungeni Dodoma
Bulaya akipongezwa na Spika Ndugai
Mbunge wa Jimbo la Kyera, Harrison Mwakyembe akila kiapo
Ndugai akimpongeza Mwakyembe
Comments