Maafisa
masoko wa UTT-PID, Laurence Nzuki (kushoto) na Martin Mchanjila
(katikati) wakitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliotembelea kwenye banda
hilo la UTT-PID wakati wa mkutano huo wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS
uliofanyika mwishoni mwa wiki, Novemba 21-22.2015, Ubungo Plaza jijini
Dar es Salaam.
Picha
ya juu na chini Afisa masoko wa UTT-PID, Mary Lugusi akielimisha
wananchi juu ya miradi inayoendeshwa na taasisi hiyo kwa wananchi hao
waliotembelea banda hilo.
Wananchi wakitembelea banda hilo la UTT-PID..
Mkuu
wa Mahusiano ya Umma UTT-PID, Eugenia Simon akiwa pamoja na Mshahuri wa
masuala ya uwekezaji wa UTT-Micro finance wakati wa mkutano huo mkuu wa
mwaka wa wanahisa wa UTT-AMIS, uliofanyika Ubungo Plaza jijini Dar es
Salaam.
Comments