Waziri Mkuu, Majaliwa Kasim akipokea shada la maua kutoka kwa kaimu Mkurugenzi wa Utawala wa Ofisi
ya Waziri Mkuu, Savera Kazaura (kulia) Baada ya kuwasili ofisini kwake
Novemba 23, 2015. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt,
Florence Turuka.
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim
Majaliwa akitia saini kitabu baada ya kuingia ofisini kwake , Magogoni
jijini Dar es salaam, Novemba 23, 2015. Kulia ni Katibu Mkuu, Ofisi ya
Waziri Mkuu, Dkt. Florence Tiruka.
Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya
Waziri Mkuu wakimsikiliza Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majliwa wakati
alipozungumza nao katika mkutano wa kujitambulisha , Ofisini kwa Waziri
Mkuu jijini Dar es salaam Novemba 23, 2015.
Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya
Waziri Mkuu wakimsikiliza Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majliwa wakati
alipozungumza nao katika mkutano wa kujitambulisha , Ofisini kwa Waziri
Mkuu jijini Dar es salaam Novemba 23, 2015. .
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim
Majaliwa akimsikiliza Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt.
Florence Turuka ambaye alitoa taarifa ya jumla kuhusu Ofisi ya Waziri
Mkuu baada ya Waziri Mkuu kuwasili Ofisini na kujitambulisha kwa
watumishi wa Ofisi yake Novemba 23, 2015.
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim
Majaliwa akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu katika mkutano
wa kujitambulisha alioufanya baada tu ya kuwasili ofisni Novemba 23,
2015. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim
Majaliwa na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Florence Turuka
wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Waziri
Mkuu baada ya kuzungumza nao katika mkutano wa kujitambulisha
alioufanya baada ya kuwasili ofisini kwake Novemba 23, 2015. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Comments