HABARI KUTOKA TELEVISHENI

Rais Magufuli atangaza vita mpya kwa waliomilikishwa mashamba na viwanda huku akidai hatamuonea mtu haya bila kujali chama chake. https://youtu.be/akW1U8lX06s  

Imeelezwa kwamba licha ya serikali kuendelea kutoa kipaumbele katika sekta ya elimu bado sekta hiyo imeendelea kukumbwa na changamoto mbalimbali ikiwemo uhaba wa miundombinu.https://youtu.be/nYm0I2QUYNs  

Wakati manispaa ya Kinondoni ikifanya jitihada za ujenzi wa shule za sekondari ili kuwanusuru wanafunzi waliofaulu na kukosa shule wilayani humo, changamoto ya walimu wa hisabati na sayansi yaendelea kujitokeza. https://youtu.be/A6ZFwZQwaCE   

Baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma latengua uamuzi wake wa kulifukuza shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na masuala ya uboreshaji wa sekta ya afya la SIKIKA.https://youtu.be/pXyKSCJIR78  

Wachimbaji wadogo mkoani Geita wailalamikia ofisi ya madini ya mkoa huo kwa madai ya kuwatimua kwenye eneo la madini waliloligundua siku kadhaa zilizopita huku wakiwasilisha kilio chao kwa waziri mwenye dhamana. https://youtu.be/3L5G_GI4WHY  

Imeelezwa kwamba mikakati ya kukabiliana na matatizo ya macho haitafanikiwa endapo wananchi wenyewe hawatawahi kupata matibabu mapema ili kuzuia upofu utotoni hadi uzeeni. https://youtu.be/7GTQ33OHYHQ  

Rais John Magufuli awataka wamiliki wa mashamba na viwanda vilivyotelekezwa kuviendeleza kabla ya hatua kali kuchukuliwa dhidi yao; https://youtu.be/gRoVPtGQYu0  

Serikali yasema itadhibiti matumizi yasiyo ya lazima ili kusimamia vilivyo fedha za umma katika matumizi yaliyokusudiwa; https://youtu.be/z1vfSCMiM-M  

Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata magari mawili yalihusika na wizi katika ofisi ya kamishina wa TRA; https://youtu.be/DW9Vanzv6qY  

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Jakaya Kikwete awataka wazee mkoani Singida kuunga juhudi zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano; https://youtu.be/XQ6MgRBjVRE  

Wizara ya ujenzi uchukuzi na mawasiliano yataja gharama zilizotumika katika ununuzi wa mabehewa 274  ya mamlaka ya reli nchini TRL; https://youtu.be/jvbjeliDXig  

Mkuu wa wilaya ya Monduli, Mhe.Francis Miti  aamuru kuwekwa ndani kwa maafisa wanne wa idara ya ardhi kwa tuhuma ya ubadhlifu wa fedha za umma; https://youtu.be/5Q2fNVhqzJY  

Wakulima wilayani Makete waiomba serikali kutazama upya  bei ya zao  la  Pareto ili mkulima aweze kunufaika na zao hilo; https://youtu.be/DmNtToiwvjI  

Serikali yashauriwa kuzingatiwa suala la mabadiliko ya tabia nchi katika ujenzi wa miundombinu ikiwemo  ya barabara na kilimo; https://youtu.be/lb95LitE0Fk  

Jeshi la polisi kanda ya maalum ya Dar es Salaam yapiga marufuku kwa madereva wa bodaboda kufanya biashara hiyo bila ya kuwa na leseni; https://youtu.be/wI0Yi3Y3i1Q   

Timu ya Azam yajitapa kufanya vizuri katika michezo ya ligi kuu soka Tanzania Bara;https://youtu.be/JiDQDNV6l4A
Attachments area
Preview YouTube video Rais Magufuli Atangaza Vita Mpya kwa Wafanyabiashara Preview YouTube video Changamoto Sekta ya Elimu Preview YouTube video Uhaba wa Walimu Preview YouTube video Uwajibikaji wa Serikali Kondoa Preview YouTube video Wachimbaji Wadogo Walia na Hujuma Preview YouTube video Huduma za Macho Preview YouTube video Kauli Ya Rais Magufuli Kuhusu Viwanda Vilivyotelekezwa Preview YouTube video Serikali Kudhibiti Matumizi Yasiyo Ya Lazima Preview YouTube video Magari 2 Yaliyotumika Wizi Ofisi Ya Kamishina Wa TRA Yabainika Preview YouTube video Wazee Mkoani Singida Waombwa Kuunga Juhudi Ya Serikali Ya Awamu Ya 5 Preview YouTube video Serikali Yataja Gharama Iliyotumika Kununua Mabehewa 274 Ya Treni Preview YouTube video Watumishi 4 Idara Ya Ardhi Mbaroni Kwa Ubadhilifu Wa Fedha Za Umma Preview YouTube video Wakulima Wa Zao La Pareto Makete Waililia Serikali Preview YouTube video Serikali Yashauriwa Kuzingatia Mabadiliko Ya Tabia Nchi Preview YouTube video Kauli Ya Jeshi La Polisi Kwa Madereva Bodaboda Preview YouTube video Azam FC Yajitapa Kufanya Vyema Ligi Kuu Tanzania Bara Copy

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI