Serikali yaweka lengo lenye nia ya kuhakikisha ifikapo mwaka 2020 , ailimia 50 ya watanzania wote wawe wamejiunga na mfuko wa afya wa hifadhi ya jamii. https://youtu.be/vLoKdCo_t7g
Hali ya baadhi ya miundombinu ya barabara katika jiji la Dar es salaam yaelezwa kuwa mbaya kutokana na kutofanyiwa ukarabati kwa muda kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha. https://youtu.be/cJQaN7mXNGc
Wizara ya fedha na mipango na mipango imeonya kuwachukulia hatua kali baadhi ya wananchi wakaothibitika na ukwepaji wa kodi. https://youtu.be/N8p2z4prYo0
Serikali yaagiza wakandarasi waliositisha ujenzi wa miundombinu nchini kuendelea na kazi zao baada ya kuwalipa sehemu ya deni. https://youtu.be/ErTNgmOJA6o
Baadhi ya wagonjwa katika hospitali ya Mji Mwema manispaa ya Songea mkoani Ruvuma waelezwa kujisaidia kwenye ndoo na madishi kutokana na kufurika kwa vyoo hospitalini hapo. https://youtu.be/4_aE74gDBFw
Wajumbe 2 katika tume ya uchaguzi Zanzibar ZEC kutoka chama cha wananchi CUF wapinga marejeo ya uchaguzi na kudai mwenyekiti wa tume hiyo amepoteza sifa kisheria na kikatiba kusimamia uchaguzi.https://youtu.be/LKlFASsChG0
[9:44:50 PM] samwel kamugisha: Serikali yafanikiwa kulipa deni la shilingi bilioni 400 kwa baadhi ya makandarasi wanaotekeleza miradi ya ujenzi wa barabara nchini; https://youtu.be/3HfYYhLJw4k
Madiwani wilayani Kaliua mkoani Tabora wamesema mwaka ujao wa fedha wataelekeza juhudi katika miradi michache inayoweza kukamilika kwa wakati; https://youtu.be/3dd7mSAkJuE
Serikali yatoa onyo kali kwa maafisa maendeleo ya jamii watakaoshindwa kupambana na vitendo vya ukeketaji katika jamii; https://youtu.be/ZT2Y2ml7bBc
Ng’ombe zaidi ya 110 wazuiwa wilayani Misenyi mara baada ya kubainika kuwa wanaugonjwa wa midomo na miguu pamoja na mapafu; https://youtu.be/OS0irQALY3o
Inaripotiwa kuwa ofisi ya bunge mkoani Dodoma yaanza ukarabati wa jengo la ukumbi wa bunge;https://youtu.be/PSQnaODfNw0
Serikali wilayani Nachingwea yaahidi kujenga ukuta katika shule ya sekondari ya wasichana Nachingwea ili kudhibiti vitendo vya kihalifu; https://youtu.be/MFYgFDKkLuc
Miili ya askari watatu wa jeshi la polisi waliopoteza maisha katika ajali ya gari iliyotokea jana wilayani Ikungi mkoani Singida yaagwa; https://youtu.be/BBDbJ48J9XY
Timu ya Yanga yaitandika JKT Ruvu kwa jumla ya goli 4 kwa 0 katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara uliofanyika katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam; https://youtu.be/RAHjbv1yUNM
Shirikisho la soka nchini Sudani kusini latangaza kumuunga mkono mgombea Urais wa FIFA, Gianni Infantino kutokana na mipango aliyonayo juu ya taifa hilo; https://youtu.be/bETRiWHWIbs
Vikosi vya ulinzi na usalama visiwani Zanzibar vyatakiwa kuwa mstari wa mbele katika kulinda na kutetea mapinduzi ya Zanzibar; https://youtu.be/4wt7jkX-L4E
Mahakimu visiwani Zanzibar watakiwa kutenda haki kwa usawa kwa kila mwananchi wakati wa kutoa hukumu; https://youtu.be/pXJHe_Ax7dE
Wananchi visiwani Zanzibar washauriwa kujiunga katika vikundi vidogo vya kiujasiriamali ili kujikwamua kiuchumi; https://youtu.be/tglSThQi4MA
Vijana visiwani Zanzibar watakiwa kuwa makini na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii ili kuepusha matatizo yanayoweza jitokeza; https://youtu.be/XO6wDvBiYAI
Preview YouTube video Mifuko ya Hifadhi ya Jamii
Preview YouTube video Uharibifu wa Barabara Kinondoni
Preview YouTube video Serikali Yalia na Wakwepa Kodi
Preview YouTube video Serikali Yawataka Wakandarasi Kuendelea na Kazi
Preview YouTube video Vyoo vya Wagonjwa Vyafurika Uchafu Songea
Preview YouTube video Wajumbe 2 wa ZEC Wapinga Kurudia Uchaguzi
Preview YouTube video Serikali Yalipa Deni La Bilioni 400 Kwa Makandarasi
Preview YouTube video Madiwani Tabora Wabainisha Miradi Ya Maendeleo Kwa Mwaka Wa Fedha Ujao
Preview YouTube video Kauli Ya Waziri Wa Afya Ummy Mwalimu Kuhusu Suala La Ukeketaji Nchini
Preview YouTube video Ng'ombe 110 Wabainika Kuwa Na Ugonjwa Wa Mapafu,Miguu Na Midomo Kagera
Preview YouTube video Ofisi Ya Bunge Yaanza Ukarabati Wa Ukumbi Wa Bunge Dodoma
Preview YouTube video Serikali Nachingwea Kujenga Uzio Shule Ya Wasichana Nachingwea
Preview YouTube video Miili Ya Askari Polisi Waliofariki Katika Ajali Mkoani Singida Yaagwa
Preview YouTube video Yanga Yailaza JKT Ruvu 4 0
Preview YouTube video Sudani Kusini Yatangaza Kumuunga Gianni Infatino Mbio Za Urais FIFA
Preview YouTube video Serikali Zanzibari Yatoa Rai Kwa Vikosi Vya Ulinzi Na Usalama
Preview YouTube video Mahakimu Viswani Zanzibar Waombwa Kuzingatia Haki
Preview YouTube video Wananchi Zanzibar Washauriwa Kujiunga Katika Vikoba
Preview YouTube video Vijana Zanzibar Washauriwa Juu Ya Matumizi Ya Mitando Ya Kijamii
Comments