Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete na Rais John Magufuli wakiwa wamekaa katika moja ya madawati 1000 yaliyotolewa msaada na CCM Mkoa wa Singida kwa ajili ya kugawa kwa shule mbalimbali za mkoa huo, kwa lengo la kupunguza upungufu wa madawati mashuleni.
Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete akimkabidhi Rais John Magufuli moja kati ya madawati 1000 yaliyotolewa na CCM Mkoa wa Singida kwa ajili ya kugawa katika shule mbalimbali za mkoa huo, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 39 ya CCM kwenye Uwanja wa CCM Namfua, mjini Singida leo.
Baada ya kupokea madawati hayo, Rais Magufuli ameagiza kila mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa kuhakikisha kila shule katika maeneo yao zinakuwa na madawati ama sivyo watakuwa wameshindwa kazi. Amesema kuwa hicho kitakuwa ni moja ya vipimo vya uwezo wao wa kazi.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Rais John Magufuli akikabidhi madawati hayo kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida li ayagawe katika shule mbalimbali mkoani humo.
JK na Magufuli wakiteremka jukwaani tayari kuondoka baada ya sherehe za maadhimisho ya miaka 39 ya CCM kumalizika
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, akitangaza kuondoka kwa viongozi hao.
JK, Magufuli na Kinana wakifurahia jambo
JK na Magufuli wakionesha mshikamano wa Serikali na Chama
JK na Magufuli wakiagana
JK akienda kupanda gari huku akifuatiwa na Magufuli
Rais Magufuli akizungumza na JK ambaye yumo ndani ya gari
Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Kinana akizungumza na Rais Magufuli
Rais Magufuli akiagana na Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan
Rais Magufuli akiwaaga Wananchi alipokuwa akiondoka uwanjani baada maadhimisho ya miaka 39 ya CCM kumalizika leo kwenye Uwanja wa CCM Namfua, Singida.
Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mjini, Mohamed Dewji akimuaga Rais Magufuli
Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete akimkabidhi Rais John Magufuli moja kati ya madawati 1000 yaliyotolewa na CCM Mkoa wa Singida kwa ajili ya kugawa katika shule mbalimbali za mkoa huo, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 39 ya CCM kwenye Uwanja wa CCM Namfua, mjini Singida leo.
Baada ya kupokea madawati hayo, Rais Magufuli ameagiza kila mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa kuhakikisha kila shule katika maeneo yao zinakuwa na madawati ama sivyo watakuwa wameshindwa kazi. Amesema kuwa hicho kitakuwa ni moja ya vipimo vya uwezo wao wa kazi.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Rais John Magufuli akikabidhi madawati hayo kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida li ayagawe katika shule mbalimbali mkoani humo.
JK na Magufuli wakiteremka jukwaani tayari kuondoka baada ya sherehe za maadhimisho ya miaka 39 ya CCM kumalizika
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, akitangaza kuondoka kwa viongozi hao.
JK, Magufuli na Kinana wakifurahia jambo
JK na Magufuli wakionesha mshikamano wa Serikali na Chama
JK na Magufuli wakiagana
JK akienda kupanda gari huku akifuatiwa na Magufuli
Rais Magufuli akizungumza na JK ambaye yumo ndani ya gari
Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Kinana akizungumza na Rais Magufuli
Rais Magufuli akiagana na Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan
Rais Magufuli akiwaaga Wananchi alipokuwa akiondoka uwanjani baada maadhimisho ya miaka 39 ya CCM kumalizika leo kwenye Uwanja wa CCM Namfua, Singida.
Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mjini, Mohamed Dewji akimuaga Rais Magufuli
Comments