AZAM FC YAMALIZA VIPORO KWA KUITWANGA MTIBWA SUGAR BAO 1-0 KWAO MANUNGU


Azam FC imekula vizuri kiporo chake kwa kuichapa Mtibwa Sugar kwa bao 1-0.

Licha ya Mtibwa Sugar kuwa nyumbani Manungu, Turiani lakinilishindwa kuizuia Azam FC iliyopata bao pekee kupitia kwa nahodha wake John Bocco katika dakika ya 61 kupitia mkwaju wa penalti.

Pamoja na ushindi huo, Azam ilipata pengo kwa kiungo wake Himid Mao kulambwa kadi nyekundu baada ya kuanzisha mzozo na watu wa huduma ya kwanza.

Ushindi wa leo unaofanya Azam FC kufikisha pointi 55 baada ya kucheza mechi 24 Simba akiendelea kuwa kileleni.

Tayari Azam imekamilisha viporo vyake baada ya mchezo wa leo na imekuwa katika nafasi nzuri baada ya kuibuka na ushindi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.