AZAM VS NDANDA KATIKA PICHA


Beki wa Azam FC, David Mwantika akimuacha chini beki wa Ndanda FC, Paul Ngalema katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2
Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche akiuvutia kasi mpira dhidi ya beki wa Ndanda
Kiungo wa Azam FC, Kipre Balou akitafuta maarifa ya kuuondoa mpira kwenye himaya ya wachezaji wa Ndanda FC
KIpre Tchetche akimtoka beki wa Ndanda jana Chamazi
Viungo William Lucian 'Gallas' wa Ndanda (kushoto) na Mudathir Yahya wa Azam FC wakigombea mpira
Beki wa Azam FC, Erasto Nyoni (kulia) akimtoka mchezaji wa Ndanda jana Chamazi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.