Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dkt. Ali Mohamed Shein leo Jumamosi, April 9, 2016 ametangaza Baraza jipya Mawaziri litakalosimamia kazi za serikali kwa kipindi cha miaka mitano ya uongozi wake.
Dkt. Shein amesema amepunguza ukubwa wa baraza hilo la Mapinduzi kutoka wizara 16 hadi kuwa wizara 13 zenye Mawaziri ni 13 na Manaibu waziri 7 na taasisi za wizara alizozivunja amezihamishia ambapo katika baadhi ya wizara za sasa.
mawaziri hao watawaapisha kesho Jumapili asubuhi katika Viwanja vya Ikulu visiwani Zanzibar.
Baraza la Mawaziri Zanzibar hao ni;
1). Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Mhe. Issa Haji Ussi Gavu.
Mhe. Issa Haji Ussi Gavu.
Mhe. Haroun Ali Sleiman.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais,Katiba .Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Mhe. Khamis Juma Maalim.
Mhe. Haji Omari Kheir.
Mhe. Mohammaed Aboud. Mohammed
5). Waziri wa Fedha na Mipango
Mhe. Dk. Khalid Salum Mohd.
6). Wizara ya Afya
Mhe Mahmoud Thabit Kombo.
Naibu Wizaya ya Afya .
Mhe.Harusi Said Suleiman.Mhe.Riziki Pembe Juma
Naibu Waziri Elimu na Mafunzo ya Amali.
Mhe, Mmanga Mjengo Mjawiri.
Mhe. Balozi Amina Salum Ali.
Mhe Balozi Ali Karume
Naibu Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi na Usafirishaji
Mhe.Mohamed Ahmed Salum.
Mhe.Rashid Ali Juma
Naibu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo.
Mhe.Chumu Kombo Khamis.
Mhe.Hamad Rashid Mohd
Naibu Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi.
Mhe.Lulu Msham Juma.
Mhe.Mauldine Castiko.
Mhe.Salama Aboud Talib.
Niabu Waziri Maji Ardhi Nishati na Mazingira.
Mhe.Juma Makungu Juma.
Comments