BREAKING NEWS: Dkt Shein atangaza baraza lake la mawaziri


Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dkt. Ali Mohamed Shein leo Jumamosi, April 9, 2016 ametangaza Baraza jipya Mawaziri litakalosimamia kazi za serikali kwa kipindi cha miaka mitano ya uongozi wake.
Dkt. Shein amesema amepunguza ukubwa wa baraza hilo la Mapinduzi kutoka wizara 16 hadi kuwa wizara 13 zenye Mawaziri ni 13 na Manaibu waziri 7 na taasisi za wizara alizozivunja amezihamishia ambapo  katika baadhi ya wizara za sasa.
mawaziri hao watawaapisha kesho Jumapili asubuhi katika Viwanja vya Ikulu visiwani Zanzibar.

Baraza la Mawaziri Zanzibar hao ni;
1). Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
      Mhe. Issa Haji Ussi Gavu.

2). Wizara nchi Afisi ya Rais Katiba  Sheria Utumishi wa Umma na utawala bora – 
     Mhe. Haroun Ali Sleiman.
    Naibu Waziri Ofisi ya Rais,Katiba .Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora 
      Mhe. Khamis Juma Maalim.  

3). Wizara ya nchi Afisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za mitaa na Idara maalum za SMZ 
      Mhe. Haji Omari Kheir.

4). Wizara ya nchi Afisi ya Makamo wa Pili wa  Rais 
      Mhe. Mohammaed  Aboud. Mohammed

5). Waziri wa Fedha na Mipango 
      Mhe. Dk. Khalid Salum Mohd.

6). Wizara ya Afya
      Mhe Mahmoud Thabit Kombo.
Naibu Wizaya ya Afya .
      Mhe.Harusi Said Suleiman.

7). Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
      Mhe.Riziki Pembe Juma 
Naibu Waziri Elimu na Mafunzo ya Amali.
      Mhe, Mmanga Mjengo Mjawiri.

8). Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko.
      Mhe. Balozi Amina Salum Ali.

9). Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi na Usafirishaji
     Mhe Balozi Ali Karume 
Naibu Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi na Usafirishaji 
Mhe.Mohamed Ahmed Salum.

10). Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo 
         Mhe.Rashid Ali Juma 
Naibu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo.
          Mhe.Chumu Kombo Khamis.

11).Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi
        Mhe.Hamad Rashid Mohd 
Naibu Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi.
   Mhe.Lulu Msham Juma.

12).Wizara ya  Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto.
        Mhe.Mauldine Castiko.

13). Wizara ya Maji Ardhi Nishati na Mazingira.
       Mhe.Salama Aboud Talib.
 Niabu Waziri Maji Ardhi Nishati na Mazingira.
       Mhe.Juma Makungu Juma.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*