Simu.tv: Mkuu wa wilaya ya Ilala awataka wafanyabiashara kote nchini kumuunga mkono jitihada za Rais Magufuli kwa kufanya usafi kwenye maeneo yao. https://youtu.be/txg9YC3vYoE
Simu.tv: Rais mstaafu wa awamu ya pili mzee Ally Hassan Mwinyi awataka watanzania kutobaguana kwa misingi ya kidini na kisiasa ili kuendeleza upendo na mshikamano. https://youtu.be/3ABiWqV8Cmk
Simu.tv: Serikali ya Uganda yaridhia ujenzi wa bomba la kusafirishia mafuta ghafi kutoka nchini humo hadi bandari ya Tanga Tanzania. https://youtu.be/EyI6WC9w-mE
Simu.tv: Kituo cha afya cha Kambi ya Simba kilichiko wilayani Ngorogoro mkoani Arusha chaelezwa kukabiliwa na ukosefu wa vyumba vya upasuaji jambo linalo hatarisha maisha ya wajawazito na watoto. https://youtu.be/U6grVXkFvHI
Simu.tv: Serikali yaanza kupitia upya sera ya ardhi ya 1995 ili iweze kuendana na mabadiliko ya sasa na ipunguze au kumaliza kabisa migogoro ya wakulima katika maeneo mbalimbali nchini. https://youtu.be/zp5rZQHR0og
Simu.tv: Wakulima na wafabiashara wa vitunguu mkoani Singida walalamikia wakala wa vipimo mkoani humo kwa kushindwa kuweka bayana ujazo wa magunia ya vitunguu. https://youtu.be/kIhRWpVtxfE
Simu.tv: Wafanyabiashara katika soko la Nyamatare wilayani Musoma waulalamikia uongozi wa halmashauri hiyo kuwaondoa katika eneo la soko hilo bila kuwaambia wapi pa kwenda. https://youtu.be/whD8Bfmewt8
Simu.tv: Wamiliki wa shule binafsi nchini wameunda chama chao kitakacho wafanya kuwa pamoja katika kushauriana na kutekeleza maagizo ya wizara ya elimu. https://youtu.be/Cr9X7pZ_5_o
Simu.tv: Mkoa wa iringa umebaini ongezeko la watumishi hewa wengine 12 baada ya kurudia zoezi la uhakiki na kufanya jumla ya watumishi hewa mkoani humo kufikia 27 https://youtu.be/duBwaqsxV6o
Simu.tv: Watanzania wameshauriwa kufanya mazoezi mara kwa mara ili kujenga mwili na kuepuka na magonjwa yanayoweza kuwapata. https://youtu.be/kMRXjLP07OU
Simu.tv: Mbao Fc ya jijini Mwanza imefanikiwa kupanda ligi kuu ya Vodacom baada ya Geita FC na JKT Oljoro kupewa adhabu ya kushushwa daraja baada ya kukumbwa na tuhuma za upangaji matokeo https://youtu.be/2eMeQa0-UjM
Simu.tv: ligi ya mabingwa wa mikoa Tanzania bara inatarajiwa kuanza mei kumi na nne ambapo mshindi wa ligi hiyo atapanda moja moja kucheza ligi daraja la kwanza. https://youtu.be/K5Nn2lWkLhM
Preview YouTube video Mkuu wa Wilaya ya Ilala Alia na Uchafu
Preview YouTube video Rais Mwinyi Asisitiza Umoja kwa Watanzania
Preview YouTube video Uganda Yaridhia Kujenga Bomba la Mafuta Tanzania
Preview YouTube video Ukosefu wa Vyumba vya Upasuaji Hospitalini
Preview YouTube video Maboresho Kabambe Sekta ya Ardhi
Preview YouTube video Wakulima wa Vitunguu Singida Watoa Kilio Chao
Preview YouTube video Wafanyabiashara Soko La Nyamatare Walalamikia Uongozi
Preview YouTube video Wamiliki Wa Shule Binafsi Waanzisha Chama
Preview YouTube video Watumishi Hewa Wengine Wabainika Iringa
Preview YouTube video Watanzania Washauriwa Kufanya Mazoezi
Preview YouTube video Mbao Fc Yaingia Ligi Kuu Ya Vodacom
Preview YouTube video Ligi Ya Mabingwa Wa Mikoa Kuanza Mei 14
Comments