HABARI MPASUKOO!!!!!! MWANAMUZIKI NDANDA KOSOVO AMEFARIKI DUNIA

Mwanamuziki wa Kikongo, Ndanda Kosovo, amefariki leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Mwanamuziki mwenzie  Dodoo, amesema kuwa  Kosovo ambaye awali alilazwa  Hospitali ya Mwananyamala amepatwa baada ya kusumbuliwa na vidonda vya tumbo.

Kosovo 'Kichaa', amweahi vuma na bendi za FM, Stono Musica aka Wajelajela Agwaa.

Blogu hii itaendelea kuwapatia taarifa za msiba huo kadri tutakavyokuwa  tunazipata.

Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi. Amina

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU