Mwanamuziki wa Kikongo, Ndanda Kosovo, amefariki leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mwanamuziki mwenzie Dodoo, amesema kuwa Kosovo ambaye awali alilazwa Hospitali ya Mwananyamala amepatwa baada ya kusumbuliwa na vidonda vya tumbo.
Kosovo 'Kichaa', amweahi vuma na bendi za FM, Stono Musica aka Wajelajela Agwaa.
Blogu hii itaendelea kuwapatia taarifa za msiba huo kadri tutakavyokuwa tunazipata.
Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi. Amina
Kwa mujibu wa Mwanamuziki mwenzie Dodoo, amesema kuwa Kosovo ambaye awali alilazwa Hospitali ya Mwananyamala amepatwa baada ya kusumbuliwa na vidonda vya tumbo.
Kosovo 'Kichaa', amweahi vuma na bendi za FM, Stono Musica aka Wajelajela Agwaa.
Blogu hii itaendelea kuwapatia taarifa za msiba huo kadri tutakavyokuwa tunazipata.
Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi. Amina
Comments