KWAHERI MPENDWA WETU CONSOLATA HAIKA VENANCE KIMARIO



Tungependa leo kusoma risala na kusema jinsi ambavyo umekuwa ukituletea furaha kila wakati lakini wapi leo tarehe 30 April 2016 tukiwa na moyo wa majonzi twashiriki na ndugu, marafiki pamoja na mwanao mpendwa Beno kusema kwaheri ya kuonana.

Kweli ni huzuni kubwa na ni ngumu kuamini kuwa hatutaona tena tabasamu lako na ucheshi wako.

Tulikupenda sana, ila Mwenyezi Mungu amekupenda Zaidi. Bwana ametoa bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe

wana KIFUNGILO.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.