MBUNGE KIJANA HALIMA BULEMBO AMPONDA MBOWE KULILIA TV LIVE BUNGENI

Mbunge wa viti maalum(CCM) Halima Bulembo anasema anaunga mkono bunge kutorushwa live na kusema kurushwa live bunge kuna faida kwa wabunge wakongwe pekee.
.
"Namshangaa kumwona mbunge kama Mbowe mwenye umaarufu mkubwa anataka aonekane 'live' bungeni,wakati hata mdogo wangu wa miaka sita anamfahamu vizuri,wabunge vijana ndio waliopaswa kulala mikia hili."
.
Kama Mwananchi mzalendo unazunguamziaje kauli ya huyu mbunge?...
See More
LikeShow more reactions
Comment

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA