MUOGELEAJI NYOTA WA TANZANIA SONIA TUMIOTTO AWASILI


01Katibu Mkuu wa klabu ya Dar Swim Club (DSC), Inviolata Itatiro (kushoto) akikabidhi shada la maua kwa muogeleaji aliyeshinda medali tatu mjini Dubai, Tumiotto (kulia) mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere jana. Kati kati ni katibu mkuu wa chama cha kuogelea (TSA), Ramadhan Namkoveka.
02Muogeleaji nyota wa Tanzania, Sonia Tumioto akizungumza huku akifuatiwa kwa umakini mkubwa na kocha wake, Michael Livingstone
03Kocha wa Sonia, Michael Livingstone akizungumza mara baada ya Sonia kuwasili huku Sonia akifuatilia.
04Katibu Mkuu wa chama cha kuogea Tanzania (TSA) Ramadhan Namkoveka akizunguza huku Sonia akisikiliza.
05Meneja wa timu ya Taifa ya Kuogelea, Leena Kapadia akizungumza mara baada ya kuwasili huku sokia (kulia) na kocha wake, Michae Livingstone akifuatilia.
06Picha ya pamoja baada ya Sonia kuwasili.
Picha na mpiga picha wetu.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU