Katibu Mkuu wa klabu ya Dar Swim Club (DSC), Inviolata Itatiro (kushoto) akikabidhi shada la maua kwa muogeleaji aliyeshinda medali tatu mjini Dubai, Tumiotto (kulia) mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere jana. Kati kati ni katibu mkuu wa chama cha kuogelea (TSA), Ramadhan Namkoveka.
Muogeleaji nyota wa Tanzania, Sonia Tumioto akizungumza huku akifuatiwa kwa umakini mkubwa na kocha wake, Michael Livingstone
Kocha wa Sonia, Michael Livingstone akizungumza mara baada ya Sonia kuwasili huku Sonia akifuatilia.
Katibu Mkuu wa chama cha kuogea Tanzania (TSA) Ramadhan Namkoveka akizunguza huku Sonia akisikiliza.
Meneja wa timu ya Taifa ya Kuogelea, Leena Kapadia akizungumza mara baada ya kuwasili huku sokia (kulia) na kocha wake, Michae Livingstone akifuatilia.
Picha na mpiga picha wetu.
Comments